Posts

YANGA SASA KUELEKEZA NGUVU ZAKE VPL

Image
Klabu ya mpira wa miguu ya Young Africans alimaarufu kama Yanga imesema kupitia benchi lake la ufundi kuwa kilichobakia ni kukazania na kutwaa ubingwa wa Kombe la Vodacom(VPL) baada ya kuondolewa katika mashindano mengine yote iliyokuwa ikishiriki. Yanga ilikuwa katika mashindano ya Klabu bingwa Afrika(Africa Champions league) ikaondolewa na Zanaco FC baada ya kuruhusu sare ya 1-1 Katika uwanja wa taifa,na kuhamia katika kombe la shirikisho Afrika(Africa Confederation Cup) pia kuondolewa na klabu ya MC Alger ya Algeria kwa jumla ya mabao 4-1 na kuhamia katika mashindano mawili ya Tanzania Bara ambayo ni FA Cup na Kombe laVodacom ambapo pia klabu ya Yanga iliondolewa katika madhindano hayo katika hatua ya nusu fainali na Klabu ya Mbao baada ya kipigo cha goli 1-0 katika uwanja wa CCM Kirumba-Mwanza Yanga sasa imebaki katika kinyang'anilo kimoja tuu yaani Kombe la Vodacom(VPL),Yanga ipo katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 56 ikiwa imecheza jumla ya michezo 25 wakati watani wao wa

Helping Hands International ndio suluhisho pekee kwa tatizo la ajira katika nchi zilizo katika ukanda wa jangwa la Sahara.

Image
Helping hands international(H2i ) ni shirika lisilo la kiserikali lililo anzishwa kwa lengo la kuwakomboa  kiuchumi watu wasiojiweza na waliokata tamaa kimaisha ikiwemo wazee/vikongwe,yatima,walemavu,wahanga wa majanga mbalimbali kama mafuriko,makahaba nk. Kutokana na ukosefu wa ajira Helping hands international(h2i) imekwenda mbali zaidi na kuwa kama chanzo cha ajira kwa wahusika na washiriki wa shirika hilo kwani watu wamekuwa wakijipatia kipato kwa njia ya kushirikishana juu ya fursa hii madhubuti.Hivyo si mshirikishwa tu anayefaidika na fursa bali na mshirikishaji pia. Helping hands international yenye makao makuu yake Dar es salaam nchini Tanzania imekua ikisambaa kwa kasi katika mikoa yote ikiwemo na kuwa na wawakilishi kila(ambassodors) karibu mkoa nchini.Hivyo vijana na watanzania kwa ujumla wanapaswa kuichukulia maanani fursa hii mpya na nzuri.